Psalms 6:1

Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu

Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi.
Sheminithi ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji.
Zaburi ya Daudi.

1 bEe Bwana, usinikemee katika hasira yako,
wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
Copyright information for SwhNEN